AfricanBooks.comAfricanBooks.com
BrowseBestsellersDealsAuthorsRegionalNewsAbout
AfricanBooks.com

Connecting African creators and global readers through technology 24/7.

Browse

  • Browse
  • Regional
  • Bestsellers
  • Gift Certificates

Useful Links

  • View My Library
  • Publish with Us
  • Frequently Asked Questions
  • About

Newsletter

Get updates on new releases and author interviews.

© 2026 AfricanBooks.com. All rights reserved.

Back to Browse
Taa Na Mwanga

Taa Na Mwanga

by
0.0(0 reviews)
$5.49

About this book

Katika kitabu hiki, mistari yaliyochaguliwa kutoka vitabu 66 vya Biblia yameambatanishwa, na kila siku ikijumuisha mistari ya Agano la Kale na Agano Jipya. Ni muhimu kuzingatia kwamba kitabu hiki hakichukui nafasi ya umuhimu ya watu kujisomea Biblia na kutafuta Maandiko, lakini ndivyo hasa kinachosisitizwa. Taa na Mwanga humpa msomaji mwongozo wa kusoma kila siku ambao unawasilisha Neno la Yahu Elohim, pamoja na maoni na maombi. Madhumuni ya kitabu hiki ni kuwasaidia watu kukuza na kuimarisha uhusiano wao na Yahu Elohim kwa kuwahimiza kufanya tabia ya kusoma Neno, kulitafakari, kulifanya, na kuomba bila kukoma.

Pages

0

Language

Swahili

Published

—

Genre

Region

East-African

Content Rating

All Readers — General audiences

ISBN

9789914939811

Format

—

Publisher